LIVE KUTOKA NAMFUA STADIUM: SINGIDA UNITED 0-0 YANGA (MAPUMZIKO)
MAPUMZIKO
-Rusheshangoga analala vizuri kabisa kumzuia Mwashiuya aliyekwua anaambaa ambaa pembeni
DAKIKA 2 ZA NYONGEZA
Dk 45 sasa, kila timu inajitahi kutaka kupata bao la kipindi cha kwanza
Dk 43 Kutinyu anaachia mkwaju mkali kabisa, unamkuta kipa Rostande anaokoa vizuri kabisa
Dk 42, nye ya lango la Yanga, Kaseke anaachia mkwaju mkali kabisa lakini linaokolewa
Dk 40 Chirwa anamtoka beki wa kulia wa Singida, lakini krosi yake inakuwa kuubwa inaokolewa
Dk 39 pasi nyingine nzuri inamfikia Mwashiuya lakini mwamuzi Joseph Pombe anasema alikuwa ameotea
Dk 35 Yanga wanapata kona inachongwa lakini Singida wanaokoa kwa ulaini
Dk 34, United wanaingia vizuri tena katika lango la Yanga lakini mpira wa mwisho wa Kiggi Makasi unakuwa dhaifu
Dk 32, Usengimana na Yondani wanaonyeshana kazi hapa, mwamuzi anasema Yondani amecheza kindava
Dk 29 sasa, mpira kidogo unaonekana kupoteza kasi na ile mipango madhubuti na kila timu inacheza ikiwa imetanguliza tahadhari kubwa
Dk 25, Ajibu anapiga faulo maridadi kabisa lakini Salum anaokoa mpira
Dk 22 pasi safi ya Ajibu, Mwashiuya anatanguliwa lakini beki Lusheshangoga anamuangusha hapa nje kidogo ya lango la Singida
Dk 21, Kaseke mara nyingine anaingia hapa ndani ya 18 ya Yanga lakini Pato nawahi na mpira unafika mkononi mwa kipa Rostande
Dk 21, Usengimana alikuwa akimlalamikia mwamuzi kuhusiana na Yondani kumkanyaga
Dk 20, Kaseke anaingia vizuri kabisa lakini pasi yake ya mwisho inaishia mikononi mwa Vicent
Dk 18, Singida wanafanya shambulizi jingine zuri lakini Yondani anamthibiti vizuri Usengimana, mpira unatoka na kuwa goal kick
Dk 16 shuti kali la kwanza linapigwa na Kutinyu lakini kipa Rostande wa Yanga analala na kudaka kwa umaridadi kabisa
Dk 14, Yanga wanapoteza nafasi nzuri baada ya kipa Manyika kuokoa na lango likabaki halina mtu, lakini Mwashiya akapiga shuti dhaifu ambalo halikulenga lango
Dk 12, Ajibu anapiga mkwaju wa faulo lakini unatoka juu ya lango la Singida
Dk 11, Mashiuya anawachambua mabeki wa United na Kaseke analazimika kumuangusha, inakuwa faulo
Dk 10 sasa, mpira unachezwa zaidi katikati ya uwanja huku kukiwa na mashambulizi ya rasharasha kutoka kila upande na mpira zaidi unachezwa katikati ya uwanja
Dk 7 Yanga walikuwa wanagongeana vizuri karibu na lango la Singida, Tshishimbi anawekwa chini, faulo
Dk 5, pasi nzuri ya Kutinyu, Youthe Rostand Jehu anatokea na kuuwahi vizuri kabisa
Dk 4, Ajibu anaingiza majaro nzuri kabisa karibu na lango la Singida lakini shuti la chirwa linatoka nje na kuwa goal kick
Dk 1 Mechi inaonekana kuanza kwa kasi, Yanga wanajibu mashambulizi na Singida wanatoa na mpira unakuwa wa kurushwa pia
Dk 45 sasa, kila timu inajitahi kutaka kupata bao la kipindi cha kwanza
Dk 43 Kutinyu anaachia mkwaju mkali kabisa, unamkuta kipa Rostande anaokoa vizuri kabisa
Dk 42, nye ya lango la Yanga, Kaseke anaachia mkwaju mkali kabisa lakini linaokolewa
Dk 40 Chirwa anamtoka beki wa kulia wa Singida, lakini krosi yake inakuwa kuubwa inaokolewa
Dk 39 pasi nyingine nzuri inamfikia Mwashiuya lakini mwamuzi Joseph Pombe anasema alikuwa ameotea
Dk 35 Yanga wanapata kona inachongwa lakini Singida wanaokoa kwa ulaini
Dk 34, United wanaingia vizuri tena katika lango la Yanga lakini mpira wa mwisho wa Kiggi Makasi unakuwa dhaifu
Dk 32, Usengimana na Yondani wanaonyeshana kazi hapa, mwamuzi anasema Yondani amecheza kindava
Dk 29 sasa, mpira kidogo unaonekana kupoteza kasi na ile mipango madhubuti na kila timu inacheza ikiwa imetanguliza tahadhari kubwa
Dk 25, Ajibu anapiga faulo maridadi kabisa lakini Salum anaokoa mpira
Dk 22 pasi safi ya Ajibu, Mwashiuya anatanguliwa lakini beki Lusheshangoga anamuangusha hapa nje kidogo ya lango la Singida
Dk 21, Kaseke mara nyingine anaingia hapa ndani ya 18 ya Yanga lakini Pato nawahi na mpira unafika mkononi mwa kipa Rostande
Dk 21, Usengimana alikuwa akimlalamikia mwamuzi kuhusiana na Yondani kumkanyaga
Dk 20, Kaseke anaingia vizuri kabisa lakini pasi yake ya mwisho inaishia mikononi mwa Vicent
Dk 18, Singida wanafanya shambulizi jingine zuri lakini Yondani anamthibiti vizuri Usengimana, mpira unatoka na kuwa goal kick
Dk 16 shuti kali la kwanza linapigwa na Kutinyu lakini kipa Rostande wa Yanga analala na kudaka kwa umaridadi kabisa
Dk 14, Yanga wanapoteza nafasi nzuri baada ya kipa Manyika kuokoa na lango likabaki halina mtu, lakini Mwashiya akapiga shuti dhaifu ambalo halikulenga lango
Dk 12, Ajibu anapiga mkwaju wa faulo lakini unatoka juu ya lango la Singida
Dk 11, Mashiuya anawachambua mabeki wa United na Kaseke analazimika kumuangusha, inakuwa faulo
Dk 10 sasa, mpira unachezwa zaidi katikati ya uwanja huku kukiwa na mashambulizi ya rasharasha kutoka kila upande na mpira zaidi unachezwa katikati ya uwanja
Dk 7 Yanga walikuwa wanagongeana vizuri karibu na lango la Singida, Tshishimbi anawekwa chini, faulo
Dk 5, pasi nzuri ya Kutinyu, Youthe Rostand Jehu anatokea na kuuwahi vizuri kabisa
Dk 4, Ajibu anaingiza majaro nzuri kabisa karibu na lango la Singida lakini shuti la chirwa linatoka nje na kuwa goal kick
Dk 1 Mechi inaonekana kuanza kwa kasi, Yanga wanajibu mashambulizi na Singida wanatoa na mpira unakuwa wa kurushwa pia
Dk 1, Singida United wanakuwa wa kwanza kufika katika lango la Yanga, Yondani anatoa na kuwa wa kurushwa
Post a Comment