Header Ads

MAKUNDI YA HIP HOP BONGO YAMEPOTEZA MSISIMKO


KIBONGOBONGO wasanii wengi wa Muziki wa Hip Hop wamekuwa wakifanya muziki huo bila kuelewa chimbuko hasa ulipotoka.
Iko hivi, harakati za Muziki wa Hip Hop zilianza kuchomoza miaka ya 1970 mitaa ya South Bronx katika Jiji la New York, Marekani na miongoni mwa waasisi wake wakiwa ni DJ Kool Herc, Grandmaster Flash na Afrika Bambaataa mwenye asili ya Jamaika.
Eneo la New York lilikuwa maarufu sana miaka ya 1980 katika nyanja ya Muziki wa Hip Hop huku mastaa kadhaa kama Run-DMC, LL Cool J, KRS- One, Doug E Fresh, Rakim, Big Daddy Kane na wengine wengi wakiufanya mji huo uliopo East Side uwe juu kwenye miondoko ya Hip Hop.

No comments