Header Ads

Hizi ndio nyimbo 3 kutoka Afrika Mashariki anazozikubali Akothee


Msanii Akothee amezitaja nyimbo tatu anazikubali na kuzisikiliza sana kutoka Afrika Mashariki.
Muimbaji huyo wa Kenya amezitaja nyimbo hizo ni Bado ya Harmonize, Titima na Sitya Loss ya Eddy Kenzo kutoka Uganda.
“Kwanza kabisa ilikuwa ni ile ya Harmonize aliyomshirikisha Diamond, Bado. Hiyo nikishalewa tu kwenye kiti inakuwa kwenye playlist yangu inakuwa haiwezi kukosa,” Akothee amemuambia Mzazi Willy Tuva katika kipindi cha Msetoea cha Citizen Radio.
“Kwa hapa nyumbani kuna ile inaimbwa “Titima”, unajua mimi sijuagi lyrics vizuri. Uganda kuna hii ngoma yakitamb lakini naipenda ile anaitwa nani huyu Eddy Kenzo ‘Sitya Loss’,” ameongeza.

No comments