SASHA LARISSA A.K.A (SASHA LEE) KUACHIA NGOMA MPYA LEO
Moja kati ya mwana dada anaekuja kwa
kasi zaidi kwenye mziki wa bongo fleva ni huyu hapa ambae anafahamika kama ‘’SASHA
LEE’’.
Sasa leo
kupiti mwambao fm radio katika kipindi
bora cha burudani cha Bongo bab kubwa kinachoe endeshwa na lady high 4 real, wille
mshana na Dj Dinnah “SASHA LEE ametambulisha
kazi yake mpya inayofahamika kama ‘’LET ME LOVE YOU’’ Ngoma iliyotengenezwa
chini ya producer T.Wille wa mahewa records kutokea mji kassoro bahari
(MOROGORO).
Mbali na ishu
ya kutambulisha ngoma yake SASHA LEE pia amefunguka kuhusiana na suala la kuwa
na management “ Kwa sasa sina management lakini lazima nipate uongozi utakao simamia
kazi zangu kwa kuwa mpaka sasa tayari kuna management zimeshaleta proposal kwa
hiyo mambo yakikaa sawa nitaweza kuwa na management”. Alisema Sasha
Kama
utakumbuka ngoma ya kwanza iliyomtambulisha Sasha Lee kwenye mziki wa bongo
fleva ni ‘’VALENTINE” ambayo iliweza kufanya vizuri sana.
Post a Comment