Licha ya kutoa mfululizo wa Hit songs kibao zenye ujazo kwa mashabiki zake,Aliyekuwa member wa kundi la Yamoto Band Dogo Aslay Ukimuuliza sasa hivi nyimbo ambazo anatamani ingekuwa ya kwake basi ungepata jibu moja tu.
Image result for Dogo aslay
Msanii huyo ameweka wazi kuwa nyimbo ambayo anaikuabali na angetamani ingekuwa yake ni nyimbo ya mwanadada #nandy ambae anafanya vizuri kwasasa na nyimbo yake ya #wasikudanganye,sasa msanii huyo amesema angetamani kufanya remix au kufanya cover ya nyimbo hiyo na yupo mbioni kuongea na Nandy katika hilo
Image result for Dogo aslay na nandy
Shusha comment yako hapa je Aslay atatisha akifanya cover au remix ya nyimbo ya Nandy wasikudanganye