Dortmund waweka rekodi Bundesliga huku Pep Gurdiola “akivunja” daraja Epl
Haikuwa siku nzuri kwa Antonio Conte na mbinu za Pep Gurdiola zilimpoteza kabisa, ilikuwa mbaya kwa Chelsea kwani ndio mchezo wa kwanza kwa Chelsea kupiga mashuti machache.
Chelsea hawajawahi kupiga mashuti yaliyolenga bao chini ya 5 tangu Conte ajiunge nao, lakini hii leo wamepiga mashuti manne tu huku kuanzia dakika ya 26 hadi mpira unaisha walipiga mashuti mawili tu.
Kule nchini Ufaransa Kylian Mbappe alifunga moja ya bao katika ushindi wa bao 6 kwa 2 dhidi ya Bordeaux na kumfanya kinda huyo kuhusika katika mabao 29 ya ligi ya Ligue 1 msimu huu akifunga 14 na kuasisst 5.
Post a Comment