Jaguar aanza kampeni za ubunge kimya kimya Kenya
Msanii Jaguar wa Kenya ameonekana kuanza kampeni zake za kuomba kura kimya kimya.
Muimbaji huyo ameonekana Jumatatu hii katika soko la Tsunami mjini Nairobi huku akizungukwa na umati wa watu huku wakimshangilia.
Post a Comment