Header Ads

TUNDA ANATAMANI INSTAGRAM IFUNGWE


Video Queen mwenye visa lukuki Bongo, Tunda Sebastian.

VIDEO Queen mwenye visa lukuki Bongo, Tunda Sebastian anadaiwa kuwa na vitimbi vingi. Wiki iliyopita alijaa kwenye kumi na nane za Ijumaa Wikienda ambalo halikuchelewa kumweka mtukati ambapo alifunguka kuwa, ili uweze kukokaa kiakili hadi umri ni lazima kukabiliana na changamoto mbalimbali hasa za kwenye mitandao ya kijamii.

Muuza nyago huyu amefunguka mambo mengi juu ya maisha yake na kuhusu sakata la ujauzito wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, yule aliyezaa na mwanamitindo Hamisa Mobeto.

Over ze weekend: Mambo vipi Tunda? Mara kadhaa umedaiwa kunasa mimba na kila wakati kunakuwa na utata, ni kwa nini inakuwa hivyo?
Tunda Sebastian akifanya yake.
Tunda: Kiukweli hata mimi huwa naona watu wanaizungumzia tu mimba, lakini sina.
Over ze weekend: Lakini kwa nini mara nyingi picha zinakuonesha una mimba lakini baadaye huyeyuka?

No comments