Header Ads

Matibabu yatayotolewa bure Dar es salaam, Paul Makonda aeleza



Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda Nov 14, 2017 alikutana na waandishi wa habari na kueleza juu ya ujio wa Madaktari 385 kutoka china watakaokuja na meli yao kuwatibu bure Watanzania.

No comments