Gianluigi Buffon aangua kilio baada ya kushindwa kuitoa Sweden
Sare ya nunge kwa nunge mjini Milan leo imewafanya wenyeji timu ya taifa ya Italia kushindwa kufuzu kwa michuano ya kombe la dunia itakayopigwa mwakani.
Sweden wanakata tiketi kulekea michuano hii ya kombe la dunia mwaka 2018 baada ya kupata ushindi wa bao moja kwa nunge katika mchezo uliofanyika siku chache zilizopita.



Post a Comment