ALICHOKUJA KUKIFANYA JUPP HEYNCKIES NDANI YA BAYERN MUNICK KIMEANZA KUTIMIA
- s
Tangu achukue mikoba ya Carlo Ancelotti kocha Jupp Heynckies amekuwa na matokeo mazuri huku timu hiyo ikiibuka na ushindi mnono katika mchezo wake wa kwanza angu achukue mikoba hiyo huku katika michezo miwili Bayern imeibuka na zaidi ya magoli tisa.
Kocha huyo amekuja kuibeba Bayern mpaka mwisho mwa msimu huu baada ya kuona jahazi linazama chini ya mwalimu Ancelotti ambaye alionekana kufanya vibaya.
BAYERN MUNICH Ulreich, Kimmich, Hummels, Boateng, Alaba, Robben, Rudy, Thiago, Coman, Muller, Lewandowski.
SUBS NOT USED: Starke, Sule, Rodriguez, Rafinha, Vidal, Tolisso, Friedl.
GOALS: Muller 17, Kimmich 29, Hummels 51
CELTIC: Gordon, Gamboa, Lustig, Boyata, Tierney, Roberts, Ntcham, Brown, Sinclair, Armstrong, Griffiths.
SUBS NOT USED: De Vries, Bitton, Dembele, Rogic, Ajer, McGregor, Forrest.
REFEREE: Sergei Karasev (Russia)
Post a Comment