Header Ads

Hizi hapa Shule zilizoshika Mkia



Shule hizo ni Kiembesamaki Unguja, Hagafilo (Njombe), Chasasa (Pemba), Mwenyeheri Anuarite (Dar es Salaam) na Ben Bella (Unguja).

Nyingine zilizotajwa kushika mkia ni Meta (Mbeya), Mlima Mbeya(Mbeya)

 Nyingine ni Shule ya Sekondari ya Mbeya (Mbeya), Al-Ihsan Girls (Unguja na St Vicent(Tabora).

No comments