Header Ads

Hatimaye Simba SC yapata uongozi mpya

Tokeo la picha la Kaburu na aveva
                          Rais wa Simba Aveva na Makamu wake Geofrey Nyange

Klabu ya Simba SC kupitia kamati yake ya Utendaji  imemteua Salim Abdallah na Iddy Kajuna ambao ni wajumbe wa kamati hiyo, kuwa wasimamizi wa majukumu ya Rais Evans Aveva na Makamu wake Geofrey Nyange kutokana na viongozi hao kushikiliwa na vyombo vya dola.

Kamati hiyo iliyokutana kwenye kikao cha dharura, baada ya viongozi wake wa ngazi za juu kukosa dhamana kwenye kesi yao iliyokuwa ikiendeshwa katika Mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam, juu ya makosa yao yanayowakabiri ya kutakatisha fedha kinyume cha sheria.

No comments