Header Ads

USAJILI: Mchezaji wa Stand United asajiliwa Zimbabwe


Mchezaji wa kimataifa wa Nigeria, Abasirim Chediebere (kulia)
Aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Stand United ya Mkoani Shinyanga, Maarufu ‘Chama la Wana’ na Coastal Union ya Tanga, Mnigeria, Abasirim Chediebere ameingia makubaliano ya mkataba wa miaka miwili ya kuitumkikia timu ya Caps United ya Zimbabwe, ambao ni Mabingwa wa ligi kuu soka nchini humo.

Caps United wamemsaini nyota huyo baada ya kufuzu majaribio ya wiki mbili.
Chidiebere akiongea kwa furaha kutoka Zimbabwe, amesema anafurahia kupata changamoto mpya.

No comments