Header Ads

‘Show Me’ ya Harmonize na Rich Mavoko ni ‘copy & paste’ ya Emergency?


‘Show Me’ ya Harmonize na Rich Mavoko ni moja kati ya ngoma kali za kudance zinazofanya vizuri sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye klabu za usiku. Wimbo huo umetayarishwa na Lizer kutoka studio za WCB huku video yake ikiongozwa na director Nicorux kutoka South Afrika.
Lakini wimbo huo umekuwa ukizua mijadala katika mitandao ya kijamii kwa madai wimbo huo ulikuwa ni idea ya wimbo ‘Emergency’ wa msanii wa Nigeria, Sold Star.

No comments