Header Ads

Taifa Stars yawasili Misri (Picha)

Timu ya Mpira wa Miguu ya Tanzania – Taifa Stars imewasili salama Tolip Sport City, Alexandria nchini Misri tayari kabisa kuanza kambi ya wiki moja kujiandaa kucheza na Lesotho katika mchezo wa Kundi L kuwania kucheza fainali za AFCON.
 





No comments